MADAWA YA ASILI KWA TIBA ZA BINADAMU

Je! Unajua nguvu ya mimea?

Tanzania ina utajiri mkubwa wa mimea ambayo inaweza kutumika kama dawa asilia. Dk Feleshi kutoka ANAMED Tanzania atatoa mafunzo jinsi ya kutumia mimea hii. Kozi hii inakupa misingi ya ulimaji, uaandaji na utumiaji wa mimea dawa.

Vile vile unaweza kuanzisha biashara yako mwenyewe ya vipodozi.

Utakayo Jifunza

Utajifunza yafuatayo;

  • Uelewa kuhusu mimea dawa mbalimbali
  • Uzalishaji wa madawa asilia yenye uwezo mkubwa
  • Tiba ya magonjwa mbalimbali Pamoja na malaria, kuhara na magonjwa Ngozi

Malengo ya kozi

Malengo ya Kozi

  • Washiriki kuanzisha bustani ya mimea dawa
  • Washiriki kuandaa madawa ya asili wenyewe
  • Washiriki kusaidia familia zao na majirani kwa kuwapa tiba ya asili

Kozi 2025

  • 10 Novemba – 14 Novemba 2025 — Course ID: NM 006

Tafadhali kumbuka kuwa ratiba yetu ya mafunzo inaweza kubadilika kwa sababu ya mahudhurio tofauti ya kozi. Ili kuthibitisha tarehe za kozi wasiliana nasi kama ilivyoonyeshwa hapa chini.

Ada ya Mafunzo: TZS 550,000 kwa kila mshiriki

Fomu ya Usajili

Jisajili sasa kwa kozi zetu za mafunzo na upate ujuzi muhimu katika kilimo endelevu! Tafadhali jaza fomu hapo chini na taarifa zako za mawasiliano, chagua kozi unayotaka kuhudhuria na tarehe unayopendelea. Chaguo la malipo linapatikana wakati wa usajili.

-
+
Malipo ya Bank au Simu - (Kama simu, tafadhali andika namba)
MADAWA YA ASILI KWA TIBA ZA BINADAMU
11 Nov– 14 Nov 2024
Asante kwa kujisajili kwa kozi na sisi! Maelekezo zaidi yametumwa kwa anwani yako ya barua pepe. Tafadhali angalia kasha lako la kuingia (inbox) na kasha lako la barua taka (spam). Tunatarajia kukutana nawe katika kozi zetu za mafunzo. Ikiwa una maswali yoyote, tafadhali wasiliana nasi kupitia training@kilimo.org.
Oops! Something went wrong while submitting the form.