Endeleza shughuli zako za kilimo huku ukilinda mazingira ndio kusudi la mafunzo haya.
Kilimo hifadhi hutumia mbinu za kilimo na uboreshaji wa udongo ili kuepuka mmomonyoko na uharibifu wa udongo, kuboresha na kulinda bioanuwai na maliasili Pamoja na maji na hewa.
Utajifunza yafuatayo;
Malengo ya Kozi;
Course 2025
Please note that our training schedule is subject to change due to variable course attendance. To confirm the course dates, contact us as indicated below.
Training Fee: TZS 450,000 per participant
Jisajili sasa kwa kozi zetu za mafunzo na upate ujuzi muhimu katika kilimo endelevu! Tafadhali jaza fomu hapo chini na taarifa zako za mawasiliano, chagua kozi unayotaka kuhudhuria na tarehe unayopendelea. Chaguo la malipo linapatikana wakati wa usajili.