Je, kilimo ni biashara yenye faida kubwa ambayo vijana wanaweza kuwekeza?
Mafunzo haya ya wiki moja yanawafunza vijana katika mbinu za kilimo hai na stadi za Maisha ili kuonyesha jinsi gani kilimo kinavyoweza kuwa njia ya kujiajiri kwa vijana. Kozi hii imeundwa ili kuwafanya vijana kufurahia kukaa kwao katika Kituo cha Mafunzo ya mkulima kupitia michezo huku wakipata maarifa muhimu juu ya ukuzaji wa biashara ili kuboresha maisha yao.
Utajifunza yafuatayo;
Malengo ya Kozi;
Kozi 2025
Tafadhali kumbuka kuwa ratiba yetu ya mafunzo inaweza kubadilika kwa sababu ya mahudhurio tofauti ya kozi. Ili kuthibitisha tarehe za kozi, wasiliana nasi kama ilivyoonyeshwa hapa chini.
Ada ya Mafunzo: TZS 400,000 kwa kila mshiriki
(KUMBUKA: kila kitu kingine ni sawa na katika kozi ya kwanza)
Jisajili sasa kwa kozi zetu za mafunzo na upate ujuzi muhimu katika kilimo endelevu! Tafadhali jaza fomu hapo chini na taarifa zako za mawasiliano, chagua kozi unayotaka kuhudhuria na tarehe unayopendelea. Chaguo la malipo linapatikana wakati wa usajili.